Featured

    Featured Posts

MJUE MZALENDO CHARLES BONIFACE MKWASA KOCHA WA TAIFA STARS

BAADA ya manung'uniko  makubwa ya wadau wa soka wa Tanzania hatimaye Shirikisho la soka kupitia kwa Rais wake Jamali Malinzi wiki hii alimteua kocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ akichukua...

MAMIA WAMLAKI LOWASA MBEYA,APATA WADHAMINI WENGI ZAIDI

Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Mbeya, wakiwa wamemzunguka, Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (katikati), wakati alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya leo Juni 19, 2015, kukabidhiwa...

SHINDA PASSO NA SIMBANKING.CRDB BANK YAMKABIDHI MSHINDI GARI JIJINI MBEYA

...

MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO AFRIKA, CRDB BANK KYELA YAKABIDHI ZAWADI KWA WATOTO

Meneja Biashara CRDB Kyela Bwana  Misape Tindwa akimkabidhi   zawadi mmoja wa watoto wanaomiliki akaunti ya JUNIOR JUMBO waliohudhuria hafla ya MTOTO WA AFRIKA   Bwana  Misape Tindwa akimkabidhi   zawadi mtoto anayemiliki...

NAFASI YA KAZI MHARIRI; NAFASI MOJA (1) KYELA FM RADIO KYELA

Radio ya jamii Kyela Fm, inapenda kuwatangazia wananchi wote walio na sifa kuomba nafasi ya kazi, Majukumu ya Mhariri: Kukagua habari zote Kyela fm, zinazo letwa, andaliwa na kwenda hewani. Kusimamia habari zote redioni. Kusimamia vikao vyote vya...

www.CodeNirvana.in

Contributors

Powered by Blogger.

Translate

Total Pageviews

Copyright © 2025 RUNGWE Nyumbani | Designed By Code Nirvana